Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na mlinzi+ alikuwa amesimama juu ya mnara+ katika Yezreeli,+ naye akaona umati unaosukasuka wa watu wa Yehu alipokuwa akija, naye akasema mara moja: “Ninaona umati unaosukasuka wa watu.” Ndipo Yehoramu akasema: “Chukua askari mpanda-farasi, umtume awapokee, naye aseme, ‘Je, kuna amani?’”+

  • Isaya 62:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+

      “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+

  • Yeremia 51:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Inueni ishara+ juu ya kuta za Babiloni. Yatieni malindo nguvu.+ Wekeni walinzi. Watayarisheni wale wanaovizia.+ Kwa maana Yehova ametunga wazo naye pia hakika atafanya lile alilosema juu ya wakaaji wa Babiloni.”+

  • Ezekieli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi katika nyumba ya Israeli,+ nawe utasikia maneno kutoka katika kinywa changu nawe lazima utawapa maonyo kutoka kwangu.+

  • Ezekieli 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye kwa kweli aone upanga ukija juu ya nchi, naye apige baragumu na kuwaonya watu,+

  • Habakuki 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nitaendelea kusimama katika kituo changu cha ulinzi,+ nitaendelea kusimama juu ya boma; nitaendelea kuangalia,+ ili kuona atakaloniambia+ na lile nitakalojibu nikikaripiwa.+

  • Mathayo 24:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Ni nani kwa kweli mtumwa mwaminifu na mwenye busara+ ambaye bwana wake alimweka rasmi juu ya watumishi wake wa nyumbani, awape chakula chao kwa wakati unaofaa?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki