5 Tangazeni jambo hilo katika Yuda, na kulihubiri hata katika Yerusalemu,+ na mliseme, na kupiga baragumu katika nchi yote.+ Iteni kwa sauti na kusema: “Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome.+
8“Tia baragumu+ katika kinywa chako! Mtu fulani anakuja kama tai+ juu ya nyumba ya Yehova, kwa sababu wamelivunja agano langu,+ nao wameikosea sheria yangu.+