2 Samweli 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Walikuwa karibu na lile jiwe kubwa lililo katika Gibeoni,+ naye Amasa+ akaja kuwapokea. Sasa Yoabu alikuwa amejifunga, amevaa vazi; naye alikuwa amefunga upanga kiunoni mwake, ukiwa katika ala yake. Naye akaenda mbele, nao ukaanguka.
8 Walikuwa karibu na lile jiwe kubwa lililo katika Gibeoni,+ naye Amasa+ akaja kuwapokea. Sasa Yoabu alikuwa amejifunga, amevaa vazi; naye alikuwa amefunga upanga kiunoni mwake, ukiwa katika ala yake. Naye akaenda mbele, nao ukaanguka.