Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.

  • Yeremia 35:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini ikawa kwamba Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipokuja juu ya nchi+ tukaanza kusema, ‘Njooni, tuingie ndani ya Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Wakaldayo na kwa sababu ya jeshi la Wasiria, nasi tukae Yerusalemu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki