14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.
11 Lakini ikawa kwamba Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipokuja juu ya nchi+ tukaanza kusema, ‘Njooni, tuingie ndani ya Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Wakaldayo na kwa sababu ya jeshi la Wasiria, nasi tukae Yerusalemu.’”+