6Kimbilieni usalama, enyi wana wa Benyamini, kutoka katikati ya Yerusalemu; nanyi mpige baragumu+ katika Tekoa.+ Na mwinue ishara ya moto katika Beth-hakeremu;+ kwa sababu msiba umetazama chini kutoka upande wa kaskazini, mshindo mkubwa.+
8“Tia baragumu+ katika kinywa chako! Mtu fulani anakuja kama tai+ juu ya nyumba ya Yehova, kwa sababu wamelivunja agano langu,+ nao wameikosea sheria yangu.+