Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami hakika nitaleta juu yenu upanga unaolipiza kisasi+ kwa ajili ya agano;+ na hakika ninyi mtajikusanya katika majiji yenu, nami hakika nitaleta tauni katikati yenu,+ nanyi mtatiwa mkononi mwa adui.+

  • Yeremia 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “‘Hakika kelele zitafika mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia, kwa maana Yehova ana ubishi na mataifa.+ Yeye binafsi atajiweka hukumuni na watu wote wenye mwili.+ Nao waovu atawatoa wauawe kwa upanga,’+ asema Yehova.

  • Ezekieli 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema, ‘Enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova:+ Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia milima na vilima,+ vijito na mabonde: “Tazama mimi! Ninaleta upanga juu yenu, nami hakika nitaharibu mahali penu pa juu.+

  • Ezekieli 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘Au kama ningeuleta upanga juu ya nchi hiyo,+ nami niseme: “Upanga wenyewe upite katikati ya nchi,” nami nimkatilie mbali mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa,+

  • Ezekieli 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Mwana wa binadamu, toa unabii, nawe useme, ‘Yehova amesema hivi: “Sema, ‘Upanga, upanga!+ Umenolewa,+ nao umesuguliwa pia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki