25 Nami hakika nitaleta juu yenu upanga unaolipiza kisasi+ kwa ajili ya agano;+ na hakika ninyi mtajikusanya katika majiji yenu, nami hakika nitaleta tauni katikati yenu,+ nanyi mtatiwa mkononi mwa adui.+
31 “‘Hakika kelele zitafika mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia, kwa maana Yehova ana ubishi na mataifa.+ Yeye binafsi atajiweka hukumuni na watu wote wenye mwili.+ Nao waovu atawatoa wauawe kwa upanga,’+ asema Yehova.
3 Nawe utasema, ‘Enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova:+ Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia milima na vilima,+ vijito na mabonde: “Tazama mimi! Ninaleta upanga juu yenu, nami hakika nitaharibu mahali penu pa juu.+
17 “ ‘Au kama ningeuleta upanga juu ya nchi hiyo,+ nami niseme: “Upanga wenyewe upite katikati ya nchi,” nami nimkatilie mbali mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa,+