Zaburi 55:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+ Methali 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu anayefunika chuki ana midomo ya uwongo,+ naye anayeleta habari mbaya ni mjinga.+ Methali 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+
21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+