Kumbukumbu la Torati 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Ezekieli 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+
22 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+