13 Wakati huo Daudi akaendelea kuchukua masuria+ na wake+ zaidi kutoka katika Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni; naye Daudi akaendelea kuzaa wana na mabinti zaidi.
16 Basi mfalme akatoka, pamoja na watu wote wa nyumbani mwake wakimfuata miguuni pake,+ na mfalme akawaacha wanawake kumi, masuria,+ ili waitunze nyumba.