2 Samweli 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Daudi akainuka kutoka sakafuni. Akaoga, akajipaka mafuta,+ akabadili nguo zake, akaenda katika nyumba ya Yehova+ na kusujudu. Kisha akaenda nyumbani kwake* na kuomba aletewe chakula, naye akala.
20 Basi Daudi akainuka kutoka sakafuni. Akaoga, akajipaka mafuta,+ akabadili nguo zake, akaenda katika nyumba ya Yehova+ na kusujudu. Kisha akaenda nyumbani kwake* na kuomba aletewe chakula, naye akala.