Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 anayehifadhi fadhili zenye upendo kwa ajili ya maelfu,+ anayesamehe kosa na ubaya na dhambi,+ lakini kwa vyovyote hatakosa kuadhibu,+ anayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya wajukuu, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne.”+

  • Kumbukumbu la Torati 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana-haramu+ yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova. Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wake asiingie katika kutaniko la Yehova.

  • Zaburi 89:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mimi pia nitaelekeza fikira zangu kwenye ukosaji wao kwa fimbo+

      Na kwenye kosa lao kwa mapigo.+

  • Methali 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ewe mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova;+ wala usichukie karipio lake,+

  • Waebrania 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki