-
2 Samweli 12:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Siku ya saba yule mtoto akafa, lakini watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kwamba mtoto amekufa. Walisema: “Mtoto alipokuwa hai tulizungumza naye lakini hakutusikiliza. Sasa tutamwambiaje kwamba mtoto amekufa? Huenda akatenda jambo baya sana.”
-