Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo huyo mwanamume akainama chini akajilaza kifudifudi mbele za Yehova+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.

  • Nehemia 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Ezra akambariki Yehova+ Mungu wa kweli, Yeye aliye mkuu, halafu watu wote wakajibu, “Amina! Amina!”+ kwa kuinua juu mikono+ yao. Kisha wakainama+ na kumsujudia Yehova kifudifudi.+

  • Zaburi 95:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+

      Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki