20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.
6 Ndipo Ezra akambariki Yehova+ Mungu wa kweli, Yeye aliye mkuu, halafu watu wote wakajibu, “Amina! Amina!”+ kwa kuinua juu mikono+ yao. Kisha wakainama+ na kumsujudia Yehova kifudifudi.+