1 Mambo ya Nyakati 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakapigana tena na Wafilisti, na Elhanani mwana wa Yairi akamuua Lahmi ndugu ya Goliathi+ Mgathi, aliyekuwa na mkuki wenye mpini kama mti wa wafumaji wa nguo.+
5 Wakapigana tena na Wafilisti, na Elhanani mwana wa Yairi akamuua Lahmi ndugu ya Goliathi+ Mgathi, aliyekuwa na mkuki wenye mpini kama mti wa wafumaji wa nguo.+