Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha shujaa mmoja akatoka katika kambi za Wafilisti; aliitwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ alikuwa na urefu wa mikono sita na shubiri moja.*

  • 1 Samweli 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mpini wa mbao wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo,+ na kichwa cha chuma cha mkuki wake kilikuwa na uzito wa shekeli 600;* na mtu aliyembebea ngao alitembea mbele yake.

  • 1 Samweli 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo kuhani akamwambia: “Nina upanga wa Goliathi+ yule Mfilisti, uliyemuua katika Bonde la* Ela,+ nao umefungwa kwa kitambaa nyuma ya efodi.+ Ikiwa unataka kuuchukua, uchukue, kwa sababu ndio upanga pekee ulio hapa.” Daudi akamwambia: “Hakuna upanga mwingine kama huo. Nipe upanga huo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki