1 Samweli 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sauli na wanaume wa Israeli wakakusanyika na kupiga kambi katika Bonde la* Ela,+ nao wakajipanga kivita ili kupigana na Wafilisti. 1 Samweli 17:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Basi Daudi akamshinda Mfilisti huyo kwa kombeo na jiwe; alimpiga Mfilisti huyo na kumuua, ingawa Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.+
2 Sauli na wanaume wa Israeli wakakusanyika na kupiga kambi katika Bonde la* Ela,+ nao wakajipanga kivita ili kupigana na Wafilisti.
50 Basi Daudi akamshinda Mfilisti huyo kwa kombeo na jiwe; alimpiga Mfilisti huyo na kumuua, ingawa Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.+