Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baada ya Ehudi, akaja Shamgari+ mwana wa Anathi, aliyewaua wanaume 600 Wafilisti+ kwa mchokoo wa ng’ombe;+ yeye pia aliwaokoa Waisraeli.

  • Waamuzi 15:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akaona utaya mbichi wa punda dume; akauchukua na kuutumia kuua wanaume 1,000.+ 16 Kisha Samsoni akasema:

      “Kwa utaya wa punda—rundo moja, marundo mawili!

      Kwa utaya wa punda nimeua wanaume 1,000.”+

  • 1 Samweli 17:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na watu wote waliokusanyika hapa watajua* kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi nyote mikononi mwetu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki