Waamuzi 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baada ya Ehudi, akaja Shamgari+ mwana wa Anathi, aliyewaua wanaume 600 Wafilisti+ kwa mchokoo wa ng’ombe;+ yeye pia aliwaokoa Waisraeli. Waamuzi 15:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akaona utaya mbichi wa punda dume; akauchukua na kuutumia kuua wanaume 1,000.+ 16 Kisha Samsoni akasema: “Kwa utaya wa punda—rundo moja, marundo mawili! Kwa utaya wa punda nimeua wanaume 1,000.”+ 1 Samweli 17:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Na watu wote waliokusanyika hapa watajua* kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi nyote mikononi mwetu.”+
31 Baada ya Ehudi, akaja Shamgari+ mwana wa Anathi, aliyewaua wanaume 600 Wafilisti+ kwa mchokoo wa ng’ombe;+ yeye pia aliwaokoa Waisraeli.
15 Akaona utaya mbichi wa punda dume; akauchukua na kuutumia kuua wanaume 1,000.+ 16 Kisha Samsoni akasema: “Kwa utaya wa punda—rundo moja, marundo mawili! Kwa utaya wa punda nimeua wanaume 1,000.”+
47 Na watu wote waliokusanyika hapa watajua* kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi nyote mikononi mwetu.”+