Zaburi 44:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana siutumaini upinde wangu,Na upanga wangu hauwezi kuniokoa.+ 7 Ni wewe uliyetuokoa kutoka kwa maadui wetu,+Wewe uliyewaaibisha wale wanaotuchukia. Zekaria 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo akaniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli: ‘“Si kwa jeshi, wala si kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ asema Yehova wa majeshi.
6 Kwa maana siutumaini upinde wangu,Na upanga wangu hauwezi kuniokoa.+ 7 Ni wewe uliyetuokoa kutoka kwa maadui wetu,+Wewe uliyewaaibisha wale wanaotuchukia.
6 Ndipo akaniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli: ‘“Si kwa jeshi, wala si kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ asema Yehova wa majeshi.