1 Samweli 17:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+ Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+ Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa na jeshi kubwa;+Mtu hodari haokolewi na nguvu zake nyingi.+
45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+
7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+