Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+

  • Zaburi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+

      Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+

  • Zaburi 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hakuna mfalme anayeokolewa na jeshi kubwa;+

      Mtu hodari haokolewi na nguvu zake nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki