11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa ameitakasa kutoka kwa mataifa yote ambayo alikuwa ameyatiisha,+
11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa+ kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa amechukua kutoka kwa mataifa yote,+ kutoka Edomu na kutoka Moabu+ na kutoka kwa wana wa Amoni+ na kutoka kwa Wafilisti+ na kutoka kwa Amaleki.+