2 Samweli 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na vita vikatokea tena na Wafilisti katika Gobu, na Elhanani+ mwana wa Yaare-oregimu Mbethlehemu, akampiga Goliathi Mgathi, ambaye mpini wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo.+
19 Na vita vikatokea tena na Wafilisti katika Gobu, na Elhanani+ mwana wa Yaare-oregimu Mbethlehemu, akampiga Goliathi Mgathi, ambaye mpini wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo.+