2 Samweli 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakapigana tena na Wafilisti+ huko Gobu, na Elhanani mwana wa Yaare-oregimu Mbethlehemu akamuua Goliathi Mgathi, aliyekuwa na mkuki wenye mpini kama mti wa wafumaji wa nguo.+
19 Wakapigana tena na Wafilisti+ huko Gobu, na Elhanani mwana wa Yaare-oregimu Mbethlehemu akamuua Goliathi Mgathi, aliyekuwa na mkuki wenye mpini kama mti wa wafumaji wa nguo.+