1 Samweli 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha shujaa mmoja akatoka katika kambi za Wafilisti; aliitwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ alikuwa na urefu wa mikono sita na shubiri moja.* 1 Samweli 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mpini wa mbao wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo,+ na kichwa cha chuma cha mkuki wake kilikuwa na uzito wa shekeli 600;* na mtu aliyembebea ngao alitembea mbele yake.
4 Kisha shujaa mmoja akatoka katika kambi za Wafilisti; aliitwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ alikuwa na urefu wa mikono sita na shubiri moja.*
7 Mpini wa mbao wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo,+ na kichwa cha chuma cha mkuki wake kilikuwa na uzito wa shekeli 600;* na mtu aliyembebea ngao alitembea mbele yake.