2 Samweli 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye akachukua taji la Malkamu kutoka juu ya kichwa chake,+ ambalo uzito wake ulikuwa talanta moja ya dhahabu, pamoja na mawe ya thamani; nalo likaja kuwa juu ya kichwa cha Daudi. Na nyara+ za jiji lile ambazo alileta zilikuwa nyingi sana.
30 Naye akachukua taji la Malkamu kutoka juu ya kichwa chake,+ ambalo uzito wake ulikuwa talanta moja ya dhahabu, pamoja na mawe ya thamani; nalo likaja kuwa juu ya kichwa cha Daudi. Na nyara+ za jiji lile ambazo alileta zilikuwa nyingi sana.