4 Na jiji likabomolewa,+ na watu wote wa vita wakakimbia wakati wa usiku kupitia njia ya lango lililo kati ya zile kuta mbili kando ya bustani ya mfalme,+ huku Wakaldayo+ wakiwa wamelizunguka jiji pande zote; naye mfalme akaanza kwenda+ kuelekea upande wa Araba.+
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.