Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na jiji likabomolewa,+ na watu wote wa vita wakakimbia wakati wa usiku kupitia njia ya lango lililo kati ya zile kuta mbili kando ya bustani ya mfalme,+ huku Wakaldayo+ wakiwa wamelizunguka jiji pande zote; naye mfalme akaanza kwenda+ kuelekea upande wa Araba.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.

  • Yeremia 39:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika mwaka wa kumi na moja wa Sedekia, katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo, jiji likapenywa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki