17 ‘ “Tazama! Siku zinakuja, na vyote vilivyo ndani ya nyumba+ yako na ambavyo mababu zako wameweka akiba mpaka leo hii vitachukuliwa kwenda Babiloni.+ Hakuna chochote kitakachobaki,”+ Yehova amesema.
13 Ndipo akaondoa hapo hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme,+ akakata vipande-vipande vyombo vyote vya dhahabu+ ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova, kama Yehova alivyokuwa amesema.
13 Na zile nguzo+ za shaba zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakavivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake kuipeleka Babiloni.+
25 Katikati yake kuna hila ya manabii wake,+ kama simba anayenguruma, anayerarua mawindo.+ Kwa kweli wanairarua nafsi.+ Wanaendelea kuchukua hazina na vitu vyenye thamani.+ Wamewazidisha wajane wake katikati yake.+