Yeremia 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitatia mikononi mwa maadui wao utajiri wote wa jiji hili, mali zake zote, vitu vyake vyote vyenye thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda.+ Nao watapora vitu hivyo na kuvichukua na kuvipeleka Babiloni.+
5 Nami nitatia mikononi mwa maadui wao utajiri wote wa jiji hili, mali zake zote, vitu vyake vyote vyenye thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda.+ Nao watapora vitu hivyo na kuvichukua na kuvipeleka Babiloni.+