Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘Tazama! Siku zinakuja, na vitu vyote vilivyo katika nyumba yako* na vitu vyote ambavyo mababu zako wamehifadhi mpaka leo hii vitapelekwa Babiloni.+ Hakuna chochote kitakachobaki,” asema Yehova.

  • 2 Wafalme 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja wakati watumishi wake walipokuwa wakilizingira jiji hilo.

  • 2 Wafalme 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha akachukua hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.*+ Alivikata vipandevipande vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alitengeneza katika hekalu la Yehova.+ Hilo lilitendeka kama Yehova alivyokuwa ametabiri.

  • 2 Wafalme 25:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia Wakaldayo walivunja vipandevipande nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na magari+ na Bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, nao wakaipeleka shaba hiyo Babiloni.+ 14 Walichukua pia ndoo za kuondolea majivu, sepetu, mikasi ya kukatia tambi za taa, vikombe, na vyombo vyote vya shaba vilivyotumiwa katika utumishi wa hekaluni. 15 Mkuu wa walinzi alichukua vyetezo na mabakuli yaliyotengenezwa kwa dhahabu+ na fedha halisi.+

  • Maombolezo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui amechukua hazina zake zote.+

      Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+

      Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki