Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mara tu walipomaliza, walimletea mfalme na Yehoyada pesa zilizobaki, nao wakazitumia kutengeneza vyombo vya nyumba ya Yehova, vyombo vya huduma na vya kutolea dhabihu na vikombe na vyombo vya dhahabu na vya fedha.+ Nao walitoa kwa ukawaida dhabihu za kuteketezwa + katika nyumba ya Yehova sikuzote za Yehoyada.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Alipeleka kila kitu Babiloni, vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mfalme na wakuu wake.+

  • Ezra 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, Mfalme Koreshi akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova ambavyo Nebukadneza alikuwa amechukua huko Yerusalemu na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+

  • Ezra 1:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mabakuli madogo 30 ya dhahabu, mabakuli madogo 410 ya fedha, vyombo vingine 1,000. 11 Vyombo vyote vya dhahabu na vya fedha vilikuwa 5,400. Sheshbazari alivibeba vyote wakati yeye na watu waliohamishwa+ walipoondoka Babiloni kwenda Yerusalemu.

  • Danieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alipokuwa amelewa, Belshaza akaagiza vyombo vya dhahabu na vya fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu la Yerusalemu viletwe,+ ili avitumie kunywea divai pamoja na wakuu wake, masuria wake, na wake zake wadogo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki