2 Mambo ya Nyakati 36:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwanzoni mwa mwaka,* Mfalme Nebukadneza aliagiza aletwe Babiloni,+ pamoja na vyombo vyenye thamani vya nyumba ya Yehova.+ Akamweka Sedekia ndugu ya baba yake kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.+ Yeremia 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitatoa mali zako na hazina zako ili ziporwe,+Bila malipo, kwa sababu ya dhambi zako zote katika maeneo yako yote.
10 Mwanzoni mwa mwaka,* Mfalme Nebukadneza aliagiza aletwe Babiloni,+ pamoja na vyombo vyenye thamani vya nyumba ya Yehova.+ Akamweka Sedekia ndugu ya baba yake kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.+
13 Nitatoa mali zako na hazina zako ili ziporwe,+Bila malipo, kwa sababu ya dhambi zako zote katika maeneo yako yote.