Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Kwa sababu ulituma barua katika jina lako kwa watu wote walio Yerusalemu, kwa Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kwa makuhani wote, ukisema,

  • Yeremia 37:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa kuhani Maaseya kwa nabii Yeremia, akisema: “Tafadhali sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”

  • Yeremia 52:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mkuu wa walinzi alimchukua pia Seraya mkuu wa makuhani,+ Sefania+ kuhani wa pili, na walinzi watatu wa milango.+

  • Yeremia 52:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mfalme wa Babiloni aliwapiga na kuwaangamiza huko Ribla+ katika nchi ya Hamathi. Hivyo watu wa Yuda wakapelekwa uhamishoni kutoka katika nchi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki