Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mkuu wa walinzi alimchukua pia kuhani mkuu Seraya,+ Sefania+ kuhani wa pili, na walinzi watatu wa milango.+

  • 2 Wafalme 25:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+

  • Yeremia 21:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeremia alipokea neno kutoka kwa Yehova wakati Mfalme Sedekia+ alipomtuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, akiomba hivi: 2 “Tafadhali mwombe Yehova ushauri kwa ajili yetu, kwa sababu Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita dhidi yetu.+ Labda Yehova atatutendea mojawapo ya matendo yake yanayostaajabisha, ili mfalme huyo atuache na kwenda zake.”+

  • Yeremia 37:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa kuhani Maaseya kwa nabii Yeremia, akisema: “Tafadhali sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”

  • Yeremia 52:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mkuu wa walinzi alimchukua pia Seraya mkuu wa makuhani,+ Sefania+ kuhani wa pili, na walinzi watatu wa milango.+

  • Yeremia 52:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mfalme wa Babiloni aliwapiga na kuwaangamiza huko Ribla+ katika nchi ya Hamathi. Hivyo watu wa Yuda wakapelekwa uhamishoni kutoka katika nchi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki