Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kitabu Cha Biblia Namba 14—2 Mambo Ya Nyakati
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
    • 33. (a) Ule ukiwa wa miaka 70 waanzaje, ‘ili kulitimiza neno la Yehova’? (b) Ni amri gani ya kihistoria imeandikwa katika mistari miwili ya mwisho ya kitabu cha Mambo ya Nyakati cha Pili?

      33 Hatimaye, Sedekia aliasi kongwa la Babuloni, na wakati huu Nebukadreza hana rehema. Hasira ya Yehova ni kamili, na hakuna maponyo. Yerusalemu laanguka, hekalu lalo laporwa na kuteketezwa, na waokokaji wa mazingiwa ya miezi 18 wapelekwa utumwani hadi Babuloni. Yuda yaachwa ukiwa. Hivyo, katika mwaka huu wa 607 K.W.K., waanza ukiwa “ili kulitimiza neno la BWANA [Yehova, NW] kwa kinywa cha Yeremia . . . kutimiza miaka sabini.” (36:21) Kisha mwandishi wa matukio hayo aruka pengo hilo la karibu miaka 70 ili aandike katika mistari miwili ya mwisho amri ya kihistoria ya Koreshi katika 537 K.W.K. Watumwa wa Kiyahudi watawekwa huru! Yerusalemu lazima liinuke tena!

  • Kitabu Cha Biblia Namba 14—2 Mambo Ya Nyakati
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
    • 35. Ni mambo gani ya maana yanayothibitishwa katika mistari ya kumalizia ya kitabu cha Mambo ya Nyakati cha Pili?

      35 Mistari ya kufunga ya kitabu cha Mambo ya Nyakati cha Pili (36:17-23) yatoa uthibitisho wenye uhakika wa utimizo wa Yeremia 25:12 na, kuongezea hilo, yaonyesha kwamba miaka 70 kamili lazima ihesabiwe tangu ukiwa kamili wa bara hadi kurejeshwa kwa ibada ya Yehova kule Yerusalemu katika 537 K.W.K. Kwa hiyo ukiwa huo ulianza katika 607 K.W.K.c—Yer. 29:10; 2 Fal. 25:1-26; Ezra 3:1-6.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki