Marko 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 ambaye hatapata mara mia+ sasa katika kipindi hiki cha wakati, nyumba na ndugu na dada na mama na watoto na mashamba, pamoja na mateso,+ na katika mfumo wa mambo unaokuja uzima wa milele. 1 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+
30 ambaye hatapata mara mia+ sasa katika kipindi hiki cha wakati, nyumba na ndugu na dada na mama na watoto na mashamba, pamoja na mateso,+ na katika mfumo wa mambo unaokuja uzima wa milele.
14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+