Zaburi 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+ Zaburi 142:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usikilize kilio changu cha kusihi,+Kwa maana nimekuwa maskini sana.+Unikomboe kutoka kwa watesaji wangu,+Kwa maana wana nguvu kuliko mimi.+
19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+
6 Usikilize kilio changu cha kusihi,+Kwa maana nimekuwa maskini sana.+Unikomboe kutoka kwa watesaji wangu,+Kwa maana wana nguvu kuliko mimi.+