Kutoka 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mkimtesa hata kidogo, naye anililie hata kidogo, sitakosa kukisikia kilio chake;+ Ayubu 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ili kukifanya kilio cha mtu wa hali ya chini kimfikie;Na hivyo yeye hukisikia kilio cha watu wanaoteseka.+ Zaburi 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwako wewe, Ee Yehova, naiinua nafsi yangu.+ Zaburi 86:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Uifanye nafsi ya mtumishi wako ishangilie,+Kwa maana, Ee Yehova, ninakuinulia wewe nafsi yangu.+ Methali 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.
28 Ili kukifanya kilio cha mtu wa hali ya chini kimfikie;Na hivyo yeye hukisikia kilio cha watu wanaoteseka.+
23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.