Kumbukumbu la Torati 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Unapaswa kumpa mshahara wake siku hiyohiyo,+ kabla ya jua kutua, kwa sababu ana uhitaji na uhai wake unategemea* mshahara wake. Usipofanya hivyo, atamlilia Yehova, nawe utakuwa na hatia ya dhambi.+ Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 24:15 Mnara wa Mlinzi (Funzo),1/2018, uku. 32
15 Unapaswa kumpa mshahara wake siku hiyohiyo,+ kabla ya jua kutua, kwa sababu ana uhitaji na uhai wake unategemea* mshahara wake. Usipofanya hivyo, atamlilia Yehova, nawe utakuwa na hatia ya dhambi.+