Malaki 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana yeye amechukia talaka,”+ Yehova, Mungu wa Israeli, amesema; “na yule ambaye amefunika vazi lake kwa jeuri,”+ Yehova wa majeshi amesema. “Nanyi mjilinde roho yenu, nanyi msitende kwa hila.+ Mathayo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hata hivyo, Yosefu mume wake, kwa sababu alikuwa mwadilifu na hakutaka kumtia aibu mbele ya watu,+ alikusudia kumtaliki+ kwa siri.
16 Kwa maana yeye amechukia talaka,”+ Yehova, Mungu wa Israeli, amesema; “na yule ambaye amefunika vazi lake kwa jeuri,”+ Yehova wa majeshi amesema. “Nanyi mjilinde roho yenu, nanyi msitende kwa hila.+
19 Hata hivyo, Yosefu mume wake, kwa sababu alikuwa mwadilifu na hakutaka kumtia aibu mbele ya watu,+ alikusudia kumtaliki+ kwa siri.