Mwanzo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+ Mathayo 5:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayemtaliki mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uasherati,+ anamweka katika hali ya kuweza kufanya uzinzi,+ na yeyote yule anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+ Mathayo 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Akawaambia: “Musa, kwa kufikiria ugumu wenu wa moyo,+ aliwapa ruhusa ya kuwataliki wake zenu, lakini haikuwa hivyo kutoka mwanzo.+ Marko 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.”+
24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+
32 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayemtaliki mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uasherati,+ anamweka katika hali ya kuweza kufanya uzinzi,+ na yeyote yule anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+
8 Akawaambia: “Musa, kwa kufikiria ugumu wenu wa moyo,+ aliwapa ruhusa ya kuwataliki wake zenu, lakini haikuwa hivyo kutoka mwanzo.+