Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+

  • Mathayo 5:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayemtaliki mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uasherati,+ anamweka katika hali ya kuweza kufanya uzinzi,+ na yeyote yule anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+

  • Mathayo 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Akawaambia: “Musa, kwa kufikiria ugumu wenu wa moyo,+ aliwapa ruhusa ya kuwataliki wake zenu, lakini haikuwa hivyo kutoka mwanzo.+

  • Marko 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki