Marko 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akawaambia: “Mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine anafanya uzinzi+ dhidi yake, Luka 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.+ Waroma 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hivyo, basi, mume wake anapokuwa hai, mwanamke huyo ataitwa mzinzi ikiwa atakuwa wa mwanamume mwingine.+ Lakini mume wake akifa, yeye yuko huru kutoka katika sheria ya mume, hivi kwamba mwanamke huyo si mzinzi akiwa wa mwanamume mwingine.+
11 Naye akawaambia: “Mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine anafanya uzinzi+ dhidi yake,
18 “Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.+
3 Hivyo, basi, mume wake anapokuwa hai, mwanamke huyo ataitwa mzinzi ikiwa atakuwa wa mwanamume mwingine.+ Lakini mume wake akifa, yeye yuko huru kutoka katika sheria ya mume, hivi kwamba mwanamke huyo si mzinzi akiwa wa mwanamume mwingine.+