Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Chemchemi yako ya maji na ibarikiwe,+ na ushangilie pamoja na mke wa ujana wako,+

  • Malaki 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana yeye amechukia talaka,”+ Yehova, Mungu wa Israeli, amesema; “na yule ambaye amefunika vazi lake kwa jeuri,”+ Yehova wa majeshi amesema. “Nanyi mjilinde roho yenu, nanyi msitende kwa hila.+

  • Mathayo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kusema, ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?+

  • Waroma 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria kwa mume wake akiwa hai; lakini mume wake akifa, yeye amefunguliwa kutoka katika sheria ya mume wake.+

  • 1 Wakorintho 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwani! Je, hamjui kwamba yeye ambaye ameungana na kahaba ni mwili mmoja naye? Kwa maana, “Hao wawili,” yeye asema, “watakuwa mwili mmoja.”+

  • 1 Wakorintho 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa watu waliofunga ndoa natoa maagizo, lakini si mimi bali ni Bwana,+ kwamba mke hapaswi kuondoka kwa mume wake;+

  • Waefeso 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki