16 Kwa maana yeye amechukia talaka,”+ Yehova, Mungu wa Israeli, amesema; “na yule ambaye amefunika vazi lake kwa jeuri,”+ Yehova wa majeshi amesema. “Nanyi mjilinde roho yenu, nanyi msitende kwa hila.+
2 Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria kwa mume wake akiwa hai; lakini mume wake akifa, yeye amefunguliwa kutoka katika sheria ya mume wake.+