Zaburi 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+ Isaya 59:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utando wao wa buibui hautatumika kama vazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao.+ Kazi zao ni kazi zenye madhara, na matendo ya jeuri yako mikononi mwao.+
5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+
6 Utando wao wa buibui hautatumika kama vazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao.+ Kazi zao ni kazi zenye madhara, na matendo ya jeuri yako mikononi mwao.+