Yeremia 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.” Mathayo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hivi kwamba wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo, kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.”+ Marko 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akawaambia: “Mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine anafanya uzinzi+ dhidi yake, Luka 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.+
20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mwenzake kwa hila,+ ndivyo ninyi, enyi nyumba ya Israeli, mlivyonitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”
6 Hivi kwamba wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo, kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.”+
11 Naye akawaambia: “Mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine anafanya uzinzi+ dhidi yake,
18 “Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.+