8 Lakini ikiwa mume wake atamkataza katika siku ya kusikia kwake,+ yeye pia ameifuta nadhiri yake iliyokuwa juu yake au ile ahadi ya midomo yake, iliyotolewa bila kufikiri, ambayo aliifunga juu ya nafsi yake, na Yehova atamsamehe.+
39 Mke amefungwa wakati wote ambao mume wake yuko hai.+ Lakini mume wake akilala usingizi katika kifo, yeye yuko huru kuolewa na yeyote anayemtaka, katika Bwana tu.+