3 kwa kuwa lazima nikuapishe kwa Yehova,+ Mungu wa mbingu na Mungu wa dunia, kwamba hutamchukulia mwanangu mke kutoka kwa binti za Wakanaani ambao ninakaa kati yao,+
4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+
25 Ndipo nikaanza kuwalaumu na kuwalaani+ na kuwapiga watu fulani+ kati yao na kuzing’oa nywele zao na kuwaapisha kwa Mungu:+ “Hampaswi kuwapa wana wao binti zenu, wala hampaswi kuwakubali binti zao wowote kwa ajili ya wana wenu wala kwa ajili yenu.+
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+