Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kwa kuwa lazima nikuapishe kwa Yehova,+ Mungu wa mbingu na Mungu wa dunia, kwamba hutamchukulia mwanangu mke kutoka kwa binti za Wakanaani ambao ninakaa kati yao,+

  • Kumbukumbu la Torati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe usifanye mapatano yoyote ya ndoa pamoja nao. Binti yako usimpe mwana wake, wala binti yake usimchukue kwa ajili ya mwana wako.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+

  • Nehemia 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo nikaanza kuwalaumu na kuwalaani+ na kuwapiga watu fulani+ kati yao na kuzing’oa nywele zao na kuwaapisha kwa Mungu:+ “Hampaswi kuwapa wana wao binti zenu, wala hampaswi kuwakubali binti zao wowote kwa ajili ya wana wenu wala kwa ajili yenu.+

  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki