Mwanzo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+ Mathayo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kusema, ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?+ 1 Wakorintho 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwani! Je, hamjui kwamba yeye ambaye ameungana na kahaba ni mwili mmoja naye? Kwa maana, “Hao wawili,” yeye asema, “watakuwa mwili mmoja.”+
24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+
5 na kusema, ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?+
16 Kwani! Je, hamjui kwamba yeye ambaye ameungana na kahaba ni mwili mmoja naye? Kwa maana, “Hao wawili,” yeye asema, “watakuwa mwili mmoja.”+