Mambo ya Walawi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ikiwa mtu ana uvimbe kwenye ngozi yake, au upele, au kigaga, au doa ambalo linaweza kuwa ugonjwa wa ukoma,*+ anapaswa kupelekwa kwa kuhani Haruni au kwa mmoja wa wanawe, makuhani.+
2 “Ikiwa mtu ana uvimbe kwenye ngozi yake, au upele, au kigaga, au doa ambalo linaweza kuwa ugonjwa wa ukoma,*+ anapaswa kupelekwa kwa kuhani Haruni au kwa mmoja wa wanawe, makuhani.+