Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lile wingu likaondoka juu ya hema, na tazama! Miriamu alikuwa amepigwa kwa ukoma mweupe kama theluji.+ Kisha Haruni akageuka na kumtazama Miriamu, akaona kwamba alikuwa amepigwa kwa ukoma.+

  • Hesabu 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tafadhali, usimwache aendelee kuwa kama mtu aliyezaliwa akiwa amekufa, ambaye nusu ya mwili wake imeoza!”

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Uzia, aliyekuwa ameshika chetezo mkononi, akawaka hasira;+ na hasira yake ilipokuwa imewaka dhidi ya makuhani, ukoma+ ukatokea kwenye paji lake la uso mbele ya makuhani katika nyumba ya Yehova karibu na madhabahu ya uvumba.

  • Mathayo 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akaunyoosha mkono wake, akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.”+ Mara moja ukoma wake ukatakasika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki