2 Mambo ya Nyakati 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini Uzia, aliyekuwa ameshika chetezo mkononi, akawaka hasira;+ na hasira yake ilipokuwa imewaka dhidi ya makuhani, ukoma+ ukatokea kwenye paji lake la uso mbele ya makuhani katika nyumba ya Yehova karibu na madhabahu ya uvumba.
19 Lakini Uzia, aliyekuwa ameshika chetezo mkononi, akawaka hasira;+ na hasira yake ilipokuwa imewaka dhidi ya makuhani, ukoma+ ukatokea kwenye paji lake la uso mbele ya makuhani katika nyumba ya Yehova karibu na madhabahu ya uvumba.