Mambo ya Walawi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ikiwa ngozi ya mwili wa mtu itatokeza upele au kigaga+ au doa na kukua katika ngozi ya mwili wake na kuwa pigo la ukoma,+ basi ataletwa kwa Haruni kuhani au kwa mmoja wa wanawe walio makuhani.+
2 “Ikiwa ngozi ya mwili wa mtu itatokeza upele au kigaga+ au doa na kukua katika ngozi ya mwili wake na kuwa pigo la ukoma,+ basi ataletwa kwa Haruni kuhani au kwa mmoja wa wanawe walio makuhani.+